sw.news

Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"

Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo].
Aliyempa Pentin habari hizo aliongeza kuhusu suala hili, hakuna "tofauti" kati ya Askofu Mkuu Ladaria na mtangulizi wake Kadinali Gerhard Müller.
Pentin amegubdua kwamba "Papa anaitaka barua [inayopiga marufuku pendekezo hilo] ibaki kuwa siri kwa sababu zisizojulikana".
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsNmaxqrapam

205
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 2
Familia Ingalls - Temporada 1 - Episodio Piloto Parte 2

49:53
elfu 47
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

+54 2344476927 ameshirikisha hii

Me Encanta este capítulo.

sw.cartoon

Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg

117
ig.news

Ozo: Pope Francis juru igbu ikpere na ihu ihe di nso

Pope Francis mere nmenme Corpus Christi na basilica nke Saint John Lateran. Nke bu nke mbu yaka agbanwere nmenme sita n'ubochi Thursday gaa na Sunday. Na ozi ya, Pope Francis kporo oriri nso dika nri di nwayo kwesiri ina akpoghachi nmuo ulo.
O juru irube isi mgbe o na-agosi oriri nso a dika emere ya ka oha hu ya. Osoghikwa mee ngaghari ma omechiri ya na Santa Maria Maggiore, ozo kwa osekwughi n'iri chineke.
#newsTxatxpswnn

112

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi

31
sw.news

Askofu: "Papa Francis Hadhibitishi Ukweli"

Kuna "hali mpya Kanisani" kwani katika mataifa mengine wazini hupokezwa Ekaristi Takatifu, Askofu Athanasius Schneider alisema akizungumza na The Remnant (November 20). Alisema kuwa hili halijawahi kuonekana "katika miaka 200 ya Kanisa" na ni "shambulizi la jumla dhidi ya Ekaristi".
Schneider aliongeza kuwa wanaoeleza shaka zao kuhusiana na vuguvugu lililoko Kanisani ni marafiki wa kweli wa Francis wala si wanaomsifu. Analiita "tendo la huduma" kwa kutaka ufafanuzi kutoka kwa Francis, "ni lazima tuwe na wajibu wa kuzungumza kwa uwazi bila kuhofia kuadhibiwa au kutengwa."
"Imani sio mali ya kibinafsi ya Papa Francis" ila ni ya Kanisa lote, Schneider alisema. Papa ni "kiongozi tu". Hivyo basi Papa hawezi kudukiza mafundisho mabaya, "ni lazima tuamini hili, hata tulipo katika ulimwengu wa giza kwa muda mfupi na ambapo kwa muda Papa hadhibitishi ukweli dhabiti na usiobadilika wa Kanisa."
#newsXyyyvgcpvj

91
oarielvillar

Familia Ingalls - T01C06 - El Amor de Jony Jonson.
Familia Ingalls - T01C06 - El Amor de Jony Jonson

49:37
1elfu 15
Lila San Car

Cómo le puede gustar el caitudo a Laura! Para gustos los colores!!! .🤪😍💜💙💚🖤♥️💛🧡❤️.. jajajaja! ....porque no le das un buen bofetón!!! jajajaja!!!!pobre Laura! 💔, El chico gusta de Mary!!!!

Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

sw.cartoon

Francis Amelifanya Kanisa Mhali Pa Vita Na Uwanja Wa Michezo.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsYanurhijxw

116
HP Y GC

Chapelet au Karmel

25:51
21
Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DW5AYUrjByE/
David Icke

05:02
8
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
95
sw.news

Mtetezi Wa Papa Francis Ajitia Mashakani (Pamoja na Francis)

Mshauri hafifu wa Papa Francis wa masuala ya kitoliolojia, Askofu Mkuu Víctor Manuel Fernández, aliye mkuu wa Chuo Kikuu cha Katoliki kilicho Buenos Aires, alitoa kauli ya kutetea nakala ya "Amoris Laetitia" katika jarida la kiteolojia la Baraza la Maaskofu wa Marekani Kusini Medellín.
Fernández alidai kuwa Francis alitoa "utafsiri rasmi" wa sura ya nane ya Amoris Laetitia iliyo tatanishi, utafsiri unaoonekana kana kwamba unaruhusu Ekaristi kwa wazini. Alirejelea barua iliyoandikwa na Papa Francis mnamo mwezi wa Septemba mwaka wa 2016 akiwaandikia Maaskofu wa Buenos Aires. Lakini barua hii, badala ya kumaliza utata wa Amoris Laetitia, ilizidisha shaka kuhusiana na utata wa Francis.
Kisha Fernández anadai kuwa sheria jumla za kimaadili haziwezi kuangazia kila hali, lakini mwishowe kulingana na Fernández kila mzini anaweza kupokea Ekaristi, msimamo ambao ni wenye uasi.
Kwa kutumia mfano tatanishi wa hali mbaya zaidi ili kufutilia mbali Injili na mafundisho ya Katoliki, anadai, kwa …Zaidi

84
carlos padila

NUEVA MISA CVII - MALACHI

146
Denis Efimov

Así es.

sw.cartoon

Kanisa Lililokufa La Ujerumani Huwekwa Hai Na Ushuru Wa Kanisa Kutoka Kwa Serikali - Kadinali Müller Akizungumza Na Kadinali Marx.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsXfvzcwkoqw

114
Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DWvm20SDMsR/
David Icke

02:35
12
sw.news

Padre "Abariki" Ndoa Ya Kishoga, Askofu Akosa Kuchukua Hatua Yoyote

Jumamosi iliyopita Padre wa Italiano Giuseppe Gobbo alizibariki pete za ndoa ya kishoga kati shoga wawili (34, 37) mjini Schio, Kaskazini mwa Italia. Baada ya maandamano Askofu Beniamino Pizziol alimwita Gobbo.
Kesi hiyo ilitamatishwa bila matokeo yoyote dhidi ya Kasisi huyo. Askofu Pizziol alitoa ujumbe kwa wanahabari akidai kuwa Gobbo alipotoshwa na "Hisia za Mapenzi ya KIchungaji". Makasisi wanafaa kuwa wenye busara zaidi na utambuzi, ujumbe hua umesema.
Picha: © rflag torn, flickr, CC BY-SA, #newsLgslghunos

81
sw.cartoon

Mhazili wa Kadinali Coccopalmerio Alipatikana Wakati wa Sherehe za Ushoga na Mihadarati za Vatikani mwaka wa 2017
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsHmqkbdtokv

176