Pope Francis mere nmenme Corpus Christi na basilica nke Saint John Lateran. Nke bu nke mbu yaka agbanwere nmenme sita n'ubochi Thursday gaa na Sunday. Na ozi ya, Pope Francis kporo oriri nso dika nri di nwayo kwesiri ina akpoghachi nmuo ulo. O juru irube isi mgbe o na-agosi oriri nso a dika emere ya ka oha hu ya. Osoghikwa mee ngaghari ma omechiri ya na Santa Maria Maggiore, ozo kwa osekwughi n'iri chineke. #newsTxatxpswnn
Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa! Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa. Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi
Kuna "hali mpya Kanisani" kwani katika mataifa mengine wazini hupokezwa Ekaristi Takatifu, Askofu Athanasius Schneider alisema akizungumza na The Remnant (November 20). Alisema kuwa hili halijawahi kuonekana "katika miaka 200 ya Kanisa" na ni "shambulizi la jumla dhidi ya Ekaristi". Schneider aliongeza kuwa wanaoeleza shaka zao kuhusiana na vuguvugu lililoko Kanisani ni marafiki wa kweli wa Francis wala si wanaomsifu. Analiita "tendo la huduma" kwa kutaka ufafanuzi kutoka kwa Francis, "ni lazima tuwe na wajibu wa kuzungumza kwa uwazi bila kuhofia kuadhibiwa au kutengwa." "Imani sio mali ya kibinafsi ya Papa Francis" ila ni ya Kanisa lote, Schneider alisema. Papa ni "kiongozi tu". Hivyo basi Papa hawezi kudukiza mafundisho mabaya, "ni lazima tuamini hili, hata tulipo katika ulimwengu wa giza kwa muda mfupi na ambapo kwa muda Papa hadhibitishi ukweli dhabiti na usiobadilika wa Kanisa." #newsXyyyvgcpvj
Cómo le puede gustar el caitudo a Laura! Para gustos los colores!!! ... jajajaja! ....porque no le das un buen bofetón!!! jajajaja!!!!pobre Laura! , El chico gusta de Mary!!!!
Mshauri hafifu wa Papa Francis wa masuala ya kitoliolojia, Askofu Mkuu Víctor Manuel Fernández, aliye mkuu wa Chuo Kikuu cha Katoliki kilicho Buenos Aires, alitoa kauli ya kutetea nakala ya "Amoris Laetitia" katika jarida la kiteolojia la Baraza la Maaskofu wa Marekani Kusini Medellín. Fernández alidai kuwa Francis alitoa "utafsiri rasmi" wa sura ya nane ya Amoris Laetitia iliyo tatanishi, utafsiri unaoonekana kana kwamba unaruhusu Ekaristi kwa wazini. Alirejelea barua iliyoandikwa na Papa Francis mnamo mwezi wa Septemba mwaka wa 2016 akiwaandikia Maaskofu wa Buenos Aires. Lakini barua hii, badala ya kumaliza utata wa Amoris Laetitia, ilizidisha shaka kuhusiana na utata wa Francis. Kisha Fernández anadai kuwa sheria jumla za kimaadili haziwezi kuangazia kila hali, lakini mwishowe kulingana na Fernández kila mzini anaweza kupokea Ekaristi, msimamo ambao ni wenye uasi. Kwa kutumia mfano tatanishi wa hali mbaya zaidi ili kufutilia mbali Injili na mafundisho ya Katoliki, anadai, kwa …Zaidi