sw.news

Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"

Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo].
Aliyempa Pentin habari hizo aliongeza kuhusu suala hili, hakuna "tofauti" kati ya Askofu Mkuu Ladaria na mtangulizi wake Kadinali Gerhard Müller.
Pentin amegubdua kwamba "Papa anaitaka barua [inayopiga marufuku pendekezo hilo] ibaki kuwa siri kwa sababu zisizojulikana".
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsNmaxqrapam

206
sw.cartoon

Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg

118
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 2
Familia Ingalls - Temporada 1 - Episodio Piloto Parte 2

49:53
elfu 47
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

+54 2344476927 ameshirikisha hii

Me Encanta este capítulo.

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi

31
HP Y GC

Chapelet au Karmel

25:51
21
sw.news

Marekebisho Ya Liturujia? Anza Kwa Kumtizama Mungu

Sadaka ya Misa na kila mtu akimtizamia Mungu itasaidia sana "kuonyesha kuwa Misa si tukio la kijamii kati ya makuhani na wnaparokia , ama wanaparokia wenyewe", Kardinali Raymond Burke alisema katika mahojiano na The Wanderer (Agosti 21).
Kulingana na Kardinali, mageuzi mengine yanahitaji kutendeka kuhusiana na utendekaji wa Kanisa, "Mahali kwingi madhabau yametolewa kutoka mahali patakatifu pa Kanisa kama matokeo ya tafsiri za uongo za Baraza ya pili ya Vatikani."
"Namna ya kupokea Ushirika Takatifu mtu akiwa amepiga goti moja na katika ulimi ni mahali muhimu pa kuanzia", Kardinali aliongeza.
Picha: Raymond Burke, © Saint Joseph, Flickr, CC BY-NC-ND, #newsZstbbaupxu

67
sw.cartoon

Knight Mwingereza Henry Sire Asimamishwa Na Shirika La Malta Kwa Kuandika The Dictator Pope.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsBzexmvhais

117
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1
Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1

47:16
elfu 14
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DW5AYUrjByE/
David Icke

05:02
8
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
95
sw.news

Kadinali Marx Ana "Maridhiano Makuu" Na Imani Ya Kiprotestanti

Mnamo siku ya Jumamosi katika sherehe ya kiekumeni huko Bochum, nchini Ujerumani, Kadinali wa Munich Reinhard Marx aliwaomba Wakatoliki na Waprotestanti "kuzidisha umoja kati yao".
Kulingana na vyombo vya habari vya Ujerumani, Marx alisema, "ni lazima mwache kuongea kuhusu utengano wa Makanisa, kwani kuna maagano muhimu katika Imani." Kuna shaka ku iwapo Marx, ambaye ni mhuria mwanachama wa baraza la Makadinali la Papa Francis, bado anaelewa maana halisi ya Imani ya Kikatoliki.
Kanisa la Kiprotestanti la Ujerumani (Evangelische Kirche Deutschlands) aliyokuwa akiizungumzia Marx, hukweza itikadi za teolojia tegemezi, hupuuza mamlaka ya kiteolojia ya Biblia, hukweza ndoa za kishoga na wachungaji mashoga, hutetea uavyaji, haiamini katika Sakramenti saba, humkana Bikra Maria na hukweza uhamaji haramu.
Picha: Reinhard Marx, Bedford-Strohm, © Maik Meid, CC BY-SA, #newsAtfwidcbqx

82
sw.cartoon

Francis, "Maswali zaidi kuhusu hekima, unyenyekevu, mabadiliko ya hali ya anga, umaskini, uhamaji haramu au maridhiano?"
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsXbwfxonsnd

140
carlos padila

NUEVA MISA CVII - MALACHI

146
Denis Efimov

Así es.

Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DWvm20SDMsR/
David Icke

02:35
12
sw.news

Kardinali Mzungu Afurahia Mabadiliko Ya Ushoga Katika Jamii

Alipoulizwa kuhusu ubaguzi dhidi ya ushoga Kardinali Westminster Vincent Nichols alitangaza akiwa London kuwa anafurahia kuwa jamii imebadilika na kuanza kuupiga pambaja ushoga.
Kuhusu mustakabali wa Kanisa Nichols alisema: "Kwangu ni muhimu sana kuwa msukumo na mwelekeo wa Papa Francis uendelezwa."
Wakristu wa Uingereza huishi sana chini ya sheria za ushoga ambazo huwanyima uhuru wa kujieleza maoni yao na vile vile uhuru wa kiuchumi (kuoka keki za harusi, kukodi nyumba) kwa sababu ya kijulikanacho kama sheria dhidi ya ubaguzi na za matamshi ya chuki.
Picha: Vincent Nichols, © Mazur/catholicnews.org.uk, CC BY-NC-SA, #newsFxihaghfmz

69
sw.cartoon

Francis Alisema Mnamo Mwaka Wa 2016: Kuna "Uaminifu" Katika Wenzi Wanaoishi Pamoja Na Wamo Katika "Ndoa Halisi"
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsPanpsvcqez

115
Guntherus de Thuringia

Qu.

05:26
22